Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan

atunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa (doctorate honoris causa)
na chuo kikuu cha jawaharlal nehru, new delhi nchini india

Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan

atembelea hospitali ya benjamin mkapa jijini dodoma tarehe 01 februari, 2023
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bw. Thobias Makoba

Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali

Kuhusu Sisi

Idara ya Habari-MAELEZO ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, Mipango na Miradi ya Maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya sera na sheria za habari.

Idara iliundwa mwaka 1945 wakati wa Vita ya Pili ya Dunia. Wajibu wa Idara kwa wakati huo kwa kushirikiana na magazeti mbalimbali yakiwemo Mambo Leo na Habari za Leo ilikuwa ni kuwajulisha wananchi kuhusu maendeleo ya vita.

Aidha kwa wakati huo, Idara ilikuwa na jukumu la kupiga picha mbalimbali za matukio ya Serikali yanayotokea ndani na nje ya nchi.

Solving the climate emergency starts today

This is due to their excellent service, competitive pricing

Our Departments

Explore city government departments

Jobs & Unemployment

City employment issue opportunities are position descriptions are listed.

Business & Industry

City employment issue opportunities are position descriptions are listed.

Roads & Transport

City employment issue opportunities are position descriptions are listed.

Culture & Recreation

City employment issue opportunities are position descriptions are listed.